Bachelor of Science in Geomatics
Chuo: Ardhi University (ARU)
Level
Degree
Muda
4 years
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
A principal pass in Advanced Mathematics and a principal level pass in either Physics or Geography or Chemistry or Computer Science. In case the second principal level pass is not Physics, an applicant must have at least a subsidiary level pass in Physics at A-level in addition to the two principal level passes.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.