Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Diploma in Veterinary Laboratory Technology

Chuo: Bagamoyo African Institute Of Science And Technology

Level

Diploma

Muda

2 years

Ada

1400000.00 Tsh/ mwaka

Mkoa

Pwani

Mahitaji ya Kozi

Holders of Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Veterinary Laboratory Technology

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now