Bachelor Degree in Wildlife Management
Chuo: College Of African Wildlife Management (CAWM)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Kilimanjaro
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in Biology, Chemistry, Physics, Geography, English Language, Agriculture, Computer Science, Nutrition, Food and Human Nutrition, Entrepreneurship Education or Advanced Mathematics.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.