Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor Degree in Information Technology

Chuo: College Of Business Education (CBE) – Dar es salaam

Level

Degree

Muda

3 years

Mkoa

Dar es Salaam

Mahitaji ya Kozi

Two principal passes in the following subjects: Advanced Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Geography, Computer Science, Commerce, Accountancy, Agriculture and Economics. If – one of the principal passes is not in Advanced Mathematics, an applicant must have at least a Pass in Basic Mathematics at O Level.

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now