Bachelor of Accountancy and Taxation
Chuo: College Of Business Education (CBE) – Dodoma
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Dodoma
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: History, Geography, Kiswahili, English Literature, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry, Biology, Advanced Mathematics, Agriculture, Computer Science or Nutrition.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.