Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor Degree in Accountancy

Chuo: College Of Business Education (CBE) – Mbeya

Level

Degree

Muda

3 years

Mkoa

Mbeya

Mahitaji ya Kozi

Two principal passes in the following subjects; Biology, Chemistry, Physics, Geography, Agriculture, Nutrition, Environment, History, English Language, Mathematics, Economics, Kiswahili, Accountancy or Commerce.

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now