Bachelor Degree in Agricultural Statistics and Economics Science in Actuarial
Chuo: Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: Advanced Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Accountancy, Agriculture, Geography, Economics, Computers, Commerce, Nutrition, Business Studies, Education, Food & Nutrition and Computer Science. If one of the principal passes is not in ‘’D’’ Advanced Mathematics, a Subsidiary pass in Basic Applied Mathematics or a minimum of grade in Mathematics at O- Level is required. the following subjects; Economics, Geography, Commerce, Accountancy, Business Studies, Physics, Chemistry, Biology,
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.