Bachelor Degree in Computer Science
Chuo: Institute Of Accountancy Arusha (IAA)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
at least a subsidiary pass or a minimum of “D” grade in Mathematics at O-Level. Two Principal passes in the following subjects: Physics, Chemistry, Biology, Computer Studies, Agriculture, Geography or Mathematics.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.