Bachelor of Science in Information Technology
Chuo: Institute Of Finance Management (IFM)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Mwanza
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes, one in Physics, Chemistry or Advanced Mathematics and one in the following subjects Biology, Geography, Agriculture, Computer Science or Nutrition. Those without a principal pass or a subsidiary pass in Advanced Mathematics or a pass in Basic Applied Mathematics must have a credit at O-Level.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.