Diploma in Procurement and Supply
Chuo: Institute Of Procurement And Supply (IPS) - DAR ES SALAAM
Level
Diploma
Muda
2 years
Ada
950000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Holder of Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Procurement and Supply, Business Administration, Accountancy, Marketing, Taxation OR Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) with at least One Principal Pass and one Subsidiary.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.