Diploma in Information Communication Technology
Chuo: Institute Of Rural Development Planning - Dodoma
Level
Diploma
Muda
3 years
Ada
1035000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Dodoma
Mahitaji ya Kozi
Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least four (4) passes in any subject excluding religious subjects. Or Holder of National Vocational Award (NVA) Level III with at least two passes in the Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) in a related Field
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.