Bachelor Degree in Statistics
Chuo: Institute Of Rural Development Planning (IRDP)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Mwanza
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: Advanced Mathematics, Economics, Geography, History, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry or Biology. If one of the principal passes is not in Advanced Mathematics an applicant must have at least a subsidiary pass in Advanced “ ” Mathematics or Basic Applied Mathematics or a minimum of C grade in Basic Mathematics at O-Level.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.