Diploma in Conflict Management and Alternative Dispute Resolution
Chuo: Institute Of Social Work - Dar Es Salaam
Level
Diploma
Muda
2 years
Ada
950000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Holders of basic technician certificate (NTA Level 4) in Conflict Management and Alternative Dispute Resolution GPA of 2.0 in Conflict Management and Alternative Dispute Resolution, Labour Relations and Public Management, Law, Industrial Relations, International Relations and Diplomacy, Development Studies, Labour Law, Political Science, Police Science, Military Science, Cyber Security OR One (1) Principal pass and subsidiary equal to 1.5 points at A Level excluding religious subjects and General Studies.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.