Diploma in Mineral Processing
Chuo: Jema Institute Of Technology
Level
Diploma
Muda
2 years
Ada
1500000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Mwanza
Mahitaji ya Kozi
Holders of Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Mineral Processing and Extractive Metallurgy/mineral Processing Engineering.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.