Bachelor of Accounting and Finance
Chuo: Jordan University College (JUCO)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Morogoro
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: History, Geography, Kiswahili, English Language, Literature in English, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry, Biology, Advanced Mathematics, Agriculture, Computer Science or Nutrition. If one of the Passes do not include Advanced Mathematics, an applicant must have a minimum of a “ D ” grade in a pass in Basic Mathematics, or Commerce or Book-keeping at O level is required.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.