Diploma in Community Development
Chuo: Jordan University College (JUCO)
Level
Diploma
Muda
2 years
Ada
1200000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Morogoro
Mahitaji ya Kozi
Holders of Basic Technician Certificate (NTA level 4) in Community Development, Business Administration, Social Protection, Social Work, Development Planning, Community Health, Local Government Administration, Youth Work OR Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) with at least one Principal pass and one Subsidiary in Principal subjects.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.