Diploma in Civil and Construction Engineering with Technical and Vocational Teacher Education
Chuo: Karume Institute Of Science And Technology (KIST) - Zanzibar
Level
Diploma
Muda
3 years
Ada
529500.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Zanzibar
Mahitaji ya Kozi
Holder of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum average pass of D grade in FOUR subjects, TWO of which MUST either be mathematics, Physics/Engineering Science, Chemistry or English language or Technical Subjects from secondary schools OR National Vocational Award (NVA Level III) in Electrical Engineering trades from recognized Technical or Vocational Education and Training Institution
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.