Bachelor of Engineering in Aircraft Maintenance
Chuo: Karume Institute Of Science And Technology (KIST) - Zanzibar
Level
Degree
Muda
4 years
Mkoa
Zanzibar
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in Advanced Mathematics and Physics. Applicants without a principal pass in Chemistry must have at least a subsidiary pass in Chemistry at A-Level or a credit pass in Chemistry at O-Level. In addition, an applicant must have a credit in Physics or Mathematics at O-Level. Mathematics.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.