Bachelor of Science in Prosthetics and Orthotics
Chuo: Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCO)
Level
Degree
Muda
4 years
Mkoa
Kilimanjaro
Mahitaji ya Kozi
Three principal passes of at least a C grade in Chemistry D grade in Biology and E grade in Physics/Mathematics and a minimum point aggregate of 6.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.