Bachelor of Sciences in Nursing
Chuo: Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCO)
Level
Degree
Muda
4 years
Mkoa
Kilimanjaro
Mahitaji ya Kozi
Three principal passes in Chemistry, Biology and either Physics or Mathematics or Nutrition with a minimum of 6 points; i.e., an applicant must have at least C grade in Chemistry and at least D grade in Biology and E grade in Physics or Mathematics or Nutrition.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.