Diploma in Occupational Therapy
Chuo: Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCO)
Level
Diploma
Muda
3 years
Ada
2380000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Kilimanjaro
Mahitaji ya Kozi
Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least four (4) passes in non-religious subjects including C pass in Biology and any two subjects in Chemistry, Mathematics, Geography, Economics, Physics/Physical Sciences.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.