Diploma in Electrical and Industrial Automation Engineering
Chuo: Kilimanjaro International Institute For Telecommunications Electronics And Computers
Level
Diploma
Muda
3 years
Ada
1285000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Arusha
Mahitaji ya Kozi
Holders of Secondary Education with At least five Passes in non-religious Subject including two Subject Among The Following Physics/ Engineering Science, Biology, Chemistry, Basic Mathematics.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.