Bachelor of Science in Information and Communication Technology
Chuo: Mbeya University Of Science And Technology (MUST)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Mbeya
Mahitaji ya Kozi
Two Principal passes in the following subjects: Advanced Mathematics, Physics, Geography, Biology, Chemistry and Economics at a minimum of “ D ” grade. In addition, an applicant must have a minimum pass of “ D ” grade in Basic Mathematics and English at O- level
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.