Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor of Technical Education in Electrical and Electronics Engineering

Chuo: Mbeya University Of Science And Technology (MUST)

Level

Degree

Muda

4 years

Mkoa

Mbeya

Mahitaji ya Kozi

Two principal passes (D and above) of a minimum in Physics and Mathematics. Those without at least E grade in Chemistry at ‘A’ level must have credit at ‘O’ level

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now