Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor of Science in Natural Resources Conservation

Chuo: Mbeya University Of Science And Technology (MUST)

Level

Degree

Muda

3 years

Mkoa

Mbeya

Mahitaji ya Kozi

Two principal passes in Biology and one of the following subjects: Chemistry, Geography, Agriculture, Nutrition at a minimum of ‘’D’’ grade: In addition, an applicant must have a minimum of ‘’D’’ grade in Biology and Chemistry or Geography or

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now