Bachelor of Science in Environmental Science and Technology
Chuo: Mbeya University Of Science And Technology (MUST)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Mbeya
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: Chemistry, Physics, Biology, Advanced Mathematics or Geography. OR Diploma in Laboratory Science and Technology, Food Science and Technology, Environmental Health Sciences, Water Supply and Sanitation Engineering, Civil Engineering, Mining Engineering, Water Resources Engineering, Irrigation Engineering, Geology, Aquaculture/Marine Sciences, Agriculture, Forestry and Botany, Energy, Biology/Microbiology, Chemistry/Biochemistry and Physics
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.