Bachelor of Science in Chemistry
Chuo: Mbeya University Of Science And Technology (MUST)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Mbeya
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in Chemistry and in one of the following subjects: Physics, Mathematics, Biology, Geography or Nutrition. OR Diploma in education or other diploma in sciences with an average of B or GPA not less than 3.0. In addition, an applicant MUST have passes in chemistry, physics and mathematics at O’ Level.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.