Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor of Science in Electrical and Renewable Energy Technology Control Engineering

Chuo: Mbeya University Of Science And Technology (MUST)

Level

Degree

Muda

4 years

Mkoa

Mbeya

Mahitaji ya Kozi

“ ” Two pri“nc”ipal passes of at least D grade at Advanced Level in Mathematics and Physics with at least an E grade in Chemistry or Geography. “ ” “ ” least an E grade in Chemistry or Geography.

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now