Diploma in Microfinance Management
Chuo: Moshi University Of Co-Operative And Business Studies (MOCU)
Level
Diploma
Muda
2 years
Ada
750000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Kilimanjaro
Mahitaji ya Kozi
Holders of Certificate in Accounting, Banking and Finance OR Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) with at least one principal pass and one subsidiary Principal subjects.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.