Bachelor of Science in Environmental Health Sciences
Chuo: Muhimbili University Of Health And Allied Sciences (MUHAS)
Level
Degree
Muda
4 years
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Three principal passes in Chemistry, Biology and either Physics or Mathematics or Nutrition or Geography or Agriculture with a minimum of 6 points. A minimum of C grade in Chemistry and D grade in Biology and at least E grade in Physics or Advanced Mathematics or Nutrition or Geography or Agriculture.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.