Diploma in Orthopaedic Technology (DOT) - KCMC
Chuo: Muhimbili University Of Health And Allied Sciences (MUHAS)
Level
Diploma
Muda
3 years
Ada
777400.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least Four (4) passes in non-religious subjects with at least Three (3) Credits from Physics, Chemistry, Biology or Mathematics. Credit pass in Engineering subjects is also acceptable as the third credit pass.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.