Bachelor of Science in Agricultural Economy and Agribusiness
Chuo: Mwalimu Nyerere University Of Agriculture And Technology (MNUAT)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Mara
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: Economics, Advanced Mathematics, Geography, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry, Agriculture or Biology. In addition, an applicant MUST have a minimum of “D” grade in Basic Mathematics at O-Level.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.