Bachelor of Science in Applied Biology
Chuo: Mwenge Catholic University (MWECAU)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Kilimanjaro
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes of D grade and above in in Biology and in one of the following subjects: Geography, Physics, Advanced Mathematics, Chemistry, Agriculture, Computer Science or Nutrition/Food and Human Nutrition, ICT, Engineering Science.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.