Bachelor of Accounting and Finance
Chuo: Mwenge Catholic University (MWECAU)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Kilimanjaro
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: History, Geography, Economics, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry, Biology or Advanced least a subsidiary level pass in Advanced Mathematics or Basic Applied Mathematics at A-level or a minimum of “D” grade in Basic Mathematics and a minimum of ‘D’ grade in English Language at O-Level or a pass in English/English Literature, Commerce, Computer, Economics, Accountancy
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.