Bachelor of Health Systems Management
Chuo: Mzumbe University (MU)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Morogoro
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: History, Geography, Kiswahili, English Language, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry, Biology, Advanced Mathematics, Agriculture, Computer Science or Nutrition and one subsidiary. Where the principal passes do not include English, an applicant MUST HAVE a minimum of “ C ” grade in English at O-Level.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.