Bachelor of Science in Industrial Engineering Management
Chuo: Mzumbe University (MU)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Morogoro
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in Physics, Chemistry, Biology, Advanced Mathematics, Agriculture, Economics, Geography, Computer Science or Nutrition and one subsidiary. If one of the principals do not include Advanced Mathematics, an applicant MUST HAVE a subsidiary pass in Basic Applied Mathematics at A- Level. In addition, an applicant MUST HAVE a minimum of “C” grade in Basic Mathematics or a “D”
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.