Bachelor of Health Systems in Monitoring and Evaluation Environmental
Chuo: Mzumbe University (MU)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Morogoro
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes and one subsidiary at the A ‘level. Where the principal passes do not include English and Mathematics an applicant MUST HAVE obtained at least a credit in English Language and Mathematics at ‘O’ level. Geography, Biology, Physics; Agriculture, History E‘conomics, Chemistry, Mathematics. The applicant must have obtained at least a credit in Geography at O' level.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.