Bachelor of Procurement and Assets Management
Chuo: Mzumbe University (MU)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Morogoro
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: History, Geography, Kiswahili, English Language, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry, Biology, Advanced Mathematics, Computer Science, Business Studies, Nutrition and one subsidiary. If one of the principal passes do not include Advanced Mathematics or Economics or Commerce or Business studies or Computer Science, an applicant must have a minimum of “ D ” grade in Basic
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.