Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor of Laws

Chuo: Mzumbeuniversitymbeyacampuscollege(MUMCCO)

Level

Degree

Muda

3 years

Mkoa

Mbeya

Mahitaji ya Kozi

Two principal passes in History, Geography, Kiswahili, English Language, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry, Biology, Advanced Mathematics, Agriculture, Computer Science or Nutrition and one subsidiary. Those without principal “ ” passes or subsidiary passes in English and History MUST HAVE a minimum of C grade in English and History at O- Level.

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now