Diploma in Library and Information Studies
Chuo: Open University Of Tanzania (OUT)
Level
Diploma
Muda
2 years
Ada
500000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Holders of Technician Certificate (NTA level 5) in Library and Information studies.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.