Bachelor of Science in Agricultural Engineering
Chuo: Sokoine University Of Agriculture (SUA)
Level
Degree
Muda
4 years
Mkoa
Morogoro
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in Advanced Mathematics and one of the following subjects: Physics, Chemistry, or Geography. In addition, an applicant MUST have a minimum of “D” grade in Physics, Chemistry and Biology at O-Level.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.