Bachelor of Science in Electrical Engineering
Chuo: St. Augustine University Of Tanzania (SAUT)
Level
Degree
Muda
4 years
Mkoa
Mwanza
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in Physics and Advanced Mathematics. In addition, an applicant MUST HAVE a subsidiary pass in Chemistry at A- Level or a minimum of “C” grade in Chemistry at O-Level. OR Certificate in foundation programme of OUT with a minimum GPA of 3.0 in the Science cluster
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.