Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor of Science in Electrical Engineering

Chuo: St. Augustine University Of Tanzania (SAUT)

Level

Degree

Muda

4 years

Mkoa

Mwanza

Mahitaji ya Kozi

Two principal passes in Physics and Advanced Mathematics. In addition, an applicant MUST HAVE a subsidiary pass in Chemistry at A- Level or a minimum of “C” grade in Chemistry at O-Level. OR Certificate in foundation programme of OUT with a minimum GPA of 3.0 in the Science cluster

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now