Diploma in Computer System Maintenance
Chuo: St. John'S University Of Tanzania (SJ)
Level
Diploma
Muda
2 years
Ada
1400000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Dodoma
Mahitaji ya Kozi
Holders of Technician Certificate (NTA Level 5) in Computer Maintenance, Computer Engineering OR Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) with One Principal Pass and one Subsidiary Principal subjects.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.