Bachelor of Science in Information Technology
Chuo: St. John'S University Of Tanzania (SJUT)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Dodoma
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: Advanced Mathematics, Physics, Chemistry, Geography, Biology, Economics, Accountancy, Commerce or Computer Science. If one of the principal passes is Not in Advanced Mathematics an applicant must have a subsidiary pass in Advanced Mathematics/Basic Applied Mathematics at A-Level.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.