Bachelor of Science in Mechanical Engineering
Chuo: St. Joseph University College Of Engineering And Technology (SJCET)
Level
Degree
Muda
4 years
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: Advanced Mathematics, Physics, Chemistry or Physics-Chemistry or Electricity. An applicant without a principal pass in Advanced Mathematics
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.