Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor of Science in Mechanical Engineering

Chuo: St. Joseph University College Of Engineering And Technology (SJCET)

Level

Degree

Muda

4 years

Mkoa

Dar es Salaam

Mahitaji ya Kozi

Two principal passes in the following subjects: Advanced Mathematics, Physics, Chemistry or Physics-Chemistry or Electricity. An applicant without a principal pass in Advanced Mathematics

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now