Bachelor Degree in Accounting and Finance
Chuo: Tengeru Institute Of Community Development (TICD)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Arusha
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in the following subjects: History, Geography, Kiswahili, English Language, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy, Science or Nutrition.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.