Bachelor of Arts in Geography and Environmental Studies
Chuo: University Of Dar Es Salaam (UDSM)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes, one in Geography with a minimum of "C" grade and one from the following subjects: Economics, History, Kiswahili, English Language, French, Arabic, Fine Art, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry, Biology,
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.