Bachelor of Arts in Literature Science and Public Administration
Chuo: University Of Dar Es Salaam (UDSM)
Level
Degree
Muda
3 years
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes one of which must be at “C” grade or above in Kiswahili, English or French Language, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy or Advanced Mathematics.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.