Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor of Science in Computer Engineering and Information Technology

Chuo: University Of Dar Es Salaam (UDSM)

Level

Degree

Muda

4 years

Mkoa

Dar es Salaam

Mahitaji ya Kozi

Two principal passes in Advanced Mathematics and Physics or Computer Science. An applicant without at least a subsidiary pass in Chemistry must have a minimum of “C” grade at O-Level.

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now