Bachelor of Science in Textile Engineering
Chuo: University Of Dar Es Salaam (UDSM)
Level
Degree
Muda
4 years
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Two Principal Level passes in Advanced Mathematics and Physics or Chemistry or Geography or Computer Science or Biology. Candidates without subsidiary pass in Chemistry at A- Level must have at least a ‘C’ grade in Chemistry at O-level.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.